Nkurunzinza Ameng'olewa Madarakani?

May 14, 2015

Ni kweli Rais Pierre Nkurunzinza ameasiwa na kuondolewa madarakani na jeshi la nchi yake ama la? Hili ni swali ambalo wengi watakuwa wanajiuliza katika maswali mengi yanagubika Siasa ya Afrika na watawala wake juu ya Madaraka, Demokrasia, Utawala Bora na Maendeleo watu.
 

Angalia baadhi ya vichwa vya habari kutoka vyanzo mbalimbali lakini kwa habari zilizothibitishwa mpaka sasa na Ikulu ya nchini Burundi ni kwamba jaribio la kuangusha Utawala wa Nkurunzinza halijafanikiwa ingawa vilevile hamna taarifa rasmi juu ya mahali alipo Bw. Nkurunziznza.

BBC Swahili.com 
Burundi:Rais Nkurunzinza ''apinduliwa''


DW Idhaa ya Kiswahili
Hatma ya Rais Nkurunziza haijulikani baada ya mapinduzi

Reuters
Burundi army head says coup attempt failed, fighting rages in capital

CNN

Daily News

Salim Kikeke (Mwanahabari kutoka BBC katika ujumbe wake kupitia mtandao wa Facebook)

Mwanaharakati Mzalendo Blog 
UPDATES; RAIS NKURUNZIZA HAJULIKANI ALIKO, UWANJA WA NDEGE WAZINGIRWA
Share on :
 
Copyright © 2015 Raizoni Blog
Distributed By My Blogger Themes | Design By SPARTO Inc Team