Taifa Stars wamerudi katika 'Good Old Days'?

May 21, 2015

Wachezaji wa Taifa Stars katika moja ya vipindi vya mazoezi. Picha kwa msaada wa intaneti

Rais Mstaafu Ali Hassani Mwinyi aliwahi kusema Tanzania kwa michezo ni kichwa cha mwendawazimu. Ilikuwa ni usemi tu au ndio utabiri kabisa, hatujui ila Taifa Stars tayari wako nje ya Cosafa baada ya mechi mbili tu za mwanzo za mashindano hayo kwa 'kuumia' mbele ya nchi za Madagascrar na Swaziland.

MECHI YA KWANZA
Taifa Stars Vs Swaziland matokeo ilikua 0-1

MECHI YA PILI
Taifa Stars Vs matokeo imekuwa 0-2
Share on :
 
Copyright © 2015 Raizoni Blog
Distributed By My Blogger Themes | Design By SPARTO Inc Team