
Sneek-peek ya Washindi wa Tuzo Za Watu 2015 zilizofanyika Hyatt Regency Hotel, Dar Es Salaam Tanzania.
- Muigizaji wa Kike anayependwa ni Wema Sepetu
- Filamu Inayopendwa ni Kigodoro ya Zamaradi Mketema
- Muongozaji wa Filamu anayependwa ni Vicent "Ray" Kigosi
- Mwigizaji wa kiume anayependwa ni Hemed
- Blog/Tovuti inayopendwa ni tovuti ya Milard Ayo
- Kipindi cha Luninga kinachopendwa MkasiTV
- Kipindi cha "Papaso" cha TBC FM kimeshinda tuzo ya Kipindi cha Radio kinachopendwa
- Mtangazaji wa radio anayependwa ni D'Jaro kutoka TBC FM
- Hanscana ameshinda kama mshindi wa Music Video Director bora
- 'Song bird' Lady Jaydee ameshinda kipengele cha mwanamziki wa Kike aliyependwazaidi